Mojim Lyrics
Mojim Lyrics > Americas singers > Leteipa the King > ndoto ya mchana > ndoto ya mchana

Leteipa the King



Lyrics
Album list

Leteipa the King

ndoto ya mchana

#INTRO
Iyeeeh iyeeh iyeeeh,
Ni vampK
lalalalalala lalalalalaaaa

#VERSE
Niliskia tufununu,
Kwamba ulipata mwingine,
Anayekupenda zaidi ya mimi,
mtafunga ndoa pengine,
Yetu ilikuwa shadow,
mapenzi yenu yamekolea,
Lazima huwa Anakupa,
vitu sikuwa nakupea,
Ndoto zako zote,
ulizoniambia,
Naona kama kweli sasa zinatimia,
Na Sina chochote,
cha kukuambia,
Ila nakonda Kweli nikikufikiria,

#HOOK
Sura yako umbo lako jamani eeh,
Busu na mahaba chumbani maami ,
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh,
Nikikumbuka najiona hayawani maami

#CHORUS
Nawatakia mema,
(Nawatakia mema)
nawatakia mema,
(Nawatakia mema)
Nawatakia mema,
(Nawatakia mema)
Basi kwaheri kwaheri
kwaheri Mama
(Ndoto yangu ya Mchana)

#VERSE
Ingawa inaniuma,
niko na furaha moyoni,
Kuona kwamba umepata,
vyote ulivyokuwa unatamani,
Naomba nipate mwaliko,
wa harusi nije Nile wali,
Nipige picha na wadau,
Find more lyrics at ※ Mojim.com
nikupe zawadi kama zamani
Alafu ntapeform,
kama beshte yako,
kale kawimbo nilikuimbia shambani
Na nitakuinform,
tunza mume wako,
Japo kuna vitu zenye ninatamani,

#HOOK
Sura yako umbo lako jamani eeh,
Busu na mahaba chumbani maami ,
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh,
Nikikumbuka najiona hayawani maami

#CHORUS
Ingawa ningependa,
ungekuwa wangu pekee,
(Nawatakia mema)
Ingawa moyoni
umeniachia kidonda,
(Nawatakia mema)
Namwomba Mungu,
anipatie
mwingine Kama wewe,
(Nawatakia mema)
Hivo kwaheri kwaheri
kwaheri kwaheri mama
(Ndoto yangu ya Mchana)
Lakini ninaomba,
unifanyie favour Moja
(Nawatakia mema)
Ukijifungua
kama ni wa kiume,
mpe jina laangu
(Nawatakia mema)
Na kama ni wa kike
mpe jina la mama yangu
(Nawatakia mema)
Basi kwaheriiiiiiii
(Ndoto yangu ya Mchana)

#AUTRO
lalalala lalalala
iyeeeeeeeeh